uteuzi mpya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Miss Botswana mwenye umri wa miaka 26 ateuliwa kuwa Waziri wa Vijana

    Wakuu, Huko Botswana inaonekana vijana wamezidi kupewa nafasi kwenye masuala ya uongozi. Lesego Chombo, aliyewahi kuwa Miss Botswana, ameteuliwa kuwa Waziri mpya wa Masuala ya Jinsia na Vijana nchini Botswana. Soma pia: Doto Mashaka Biteko: Kutoka Ualimu, Ubunge atakuja kuwa Waziri Mkuu wa...
  2. Mindyou

    Uteuzi: Rais Samia Ateua Viongozi Wapya ATCL na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko muhimu katika uongozi wa taasisi mbili nchini kwa kuteua viongozi wapya. Taarifa kutoka Ikulu iliyotolewa tarehe 11 Novemba 2024 na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, inaeleza uteuzi huo uliaanza...
  3. Influenza

    Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa Viongozi mbalimbali kama ifuatavyo: Amemteua Ndugu Said Othman Yakubu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Yakubu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo. Amemteua...
  4. msuyaeric

    Teuzi Mpya: Rais Samia na falsafa ya kimageuzi kwa Watumishi wa Umma

    Na Mwl Udadis, Buza kwa Lulenge Moja ya falsafa ngumu katika uongozi ni uwezo wa kuongoza watu kimageuzi. Rais Samia anaendelea kuiishi falsafa hii kwa weledi na umahiri wa hali ya juu. Nafasi za teuzi siku zote ni dhamana katika kuwatumikia watanzania, dhamana hii inaweza kukabidhiwa kwa...
Back
Top Bottom