uteuzi na utenguzi serikalini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Raia Fulani

    Hivi mtu akishateuliwa kiongozi huwa akili zake zinaongezeka mara dufu?

    Huwa sielewe kwa kweli. Hasa nikiangazia teuzi za mawaziri. Unakuta leo waziri yupo wizara hii, kesho kateuliwa kule na keshokutwa kaletwa huku. Na kila unapomwona kwenye wizara mpya anaongea kama alikuwa hapo miaka kumi iliyopita. Kuna wakati Bashungwa alikuwa waziri wa viwanda. Siku alialikwa...
  2. J

    Pre GE2025 Kitenge: Katika fyekafyeka ya Mawaziri bado Mmoja, Ni nani huyo?

    Mchambuzi nguli wa Magazeti Maulid Kitenge amesema katika fyekafyeka ya Mawaziri bado Mmoja Kitenge ameuliza: Ni nani huyo? Source: Wasafi media Mlale Unono 😀
  3. J

    Zamani Mwalimu Nyerere alimtumbua Waziri tulijiuliza; Waziri kafanya nini Yarabi? Siku hizi inajulikana ni makandokando tu

    Ilikuwa unamsikia Suleiman Kumchaya au Jacob Tesha kwenye Taarifa ya Habari RTD kwamba Rais Nyerere amemfuta kwenye Baraza la Mawaziri Waziri Naniliu Hapo Ndio upekuzi wa Sukununu unaanza kufuatilia huyo Waziri kafanya kosa gani Siku hizi Mawaziri Wana makandokando kibao kiasi kwamba...
  4. Megalodon

    Pre GE2025 Tumbua Tumbua hazijawahi kuwa na tija kwa Taifa, Watanzania kuweni makini

    Ni lini tumbua tumbua zilibadilisha hali ya Taifa? Zaidi ya watu wenye chuki na hao viongozi kuwa na furaha. Hakuna proper procedures na vetting katika uteuzi, hivyo hata tenguzi tenguzi hazina tija wala manufaa kwa taïfa. Ogopa matapeli, ni kipindi cha uchaguzi, huwa wanaangalia ni kitu gani...
  5. chiembe

    Pre GE2025 Rais Samia ameichukua jumla jumla slogani ya Ahmed Ally ya "UBAYA UBWELA"?

    Naona mama anapiga katafunua kali kali sana, yaani hii ndio "ubaya ubwela" kwa rangi zake, nadhani amepiga miksa na kurujuani ya Mzee Magoma, yaani hata aliyewaza kama Maharage, aliyeshiriki, anakula za uso. Hakopeshi, unapiga tukio, anakupiga tukio, ukiweka ugoko, anaweka jiwe, n'gadu kwa...
  6. U

    Jinsi tumbua na Uhamisho unavyofuja pesa za Serikali, unnecessarily

    Kwanza kabisa lazima tujiulize je serikali hii ina mpango wa kupunguza matumizi yasiyo na ulazima wowote au yenyewe Haina huruma na pesa za walipa Kodi, Kwasababu action za serikali zinaitia hasara serikali pakubwa sana. Jamani hasara za riba ya mikopo ningedhani yatosha , kumbe bado tuna hasara...
  7. Girland

    Je, utakaso unaendelea kambini huko Israel?

    Hapo zamani za kale, miaka zaidi ya 4000+ iliyopita katika nchi ya Israel walipewa agizo. Agizo hilo la kuwatenga wakoma mbali na Kusanyiko la wana wa Israeli. linapatikana kitabu cha Hesabu 5:2 Waamuru wana wa Israel wawatoe watu wote wenye magonjwa ya ngozi yanayoambukiza, na kila mwenye...
  8. Cute Wife

    Mkuu wa Mkoa Simiyu atenguliwa, Kenan Kihongosi achukua nafasi hiyo

    Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo: 1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya uteuzi, Bw. Kihongosi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Momba. Bw. Kihongosi anachukua nafasi ya Dkt. Yahaya...
  9. ESCORT 1

    Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?

    Ni akina nani wanahusika na suala la kufanya vetting? Rais anateua mtu ndani ya muda mchache anamtengua, mara kadhaa makosa haya yanajirudia. Rais anapewa mtu ambaye sio sahihi. DC wa Sumbawanga alifanyiwa vetting? Diwani Athumani alipotolewa Idarani na kupelekwa Katibu Mkuu Ikulu uteuzi...
Back
Top Bottom