uteuzi na utenguzi wa viongozi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Maajabu: Mwijaku apendekeza Mfumo wa Uteuzi usiangalie Chawa

    Habari kamili hii hapa Mtangazaji Burton Mwemba, maarufu Mwijaku ameishauri Serikali kuona umuhimu wa kuwa na mfumo mzuri wa kuangalia aina ya upatikanaji viongozi kwa baadhi ya nafasi hasa zile za kuteuliwa na Rais au taasisi fulani. “Kumteua mtu lazima kuwe na utaratibu wa aina mbili...
  2. M

    Je ni nani anamshauri Rais katika teuzi?

    Kumekuwa na mabadiliko ya mara kwa mara katika nafasi mbalimbali Serikalini. Lakini wananchi wamekuwa wakiwashangaa wanarudishwa katika nafasi walizoondolewa kutokana na uadilifu au uwezo wa wahusika. Je ina maana hakuna wengine waadilifu hadi walioondolewa wanarudishwa tena? Au kuna maigizo...
  3. Raia Fulani

    Hivi mtu akishateuliwa kiongozi huwa akili zake zinaongezeka mara dufu?

    Huwa sielewe kwa kweli. Hasa nikiangazia teuzi za mawaziri. Unakuta leo waziri yupo wizara hii, kesho kateuliwa kule na keshokutwa kaletwa huku. Na kila unapomwona kwenye wizara mpya anaongea kama alikuwa hapo miaka kumi iliyopita. Kuna wakati Bashungwa alikuwa waziri wa viwanda. Siku alialikwa...
  4. Erythrocyte

    Leo ni Ijumaa ewe Mtumishi wa Umma umekumbuka kuondoka na Vitu vyako Ofisini?

    Ni vema ukafanya hivyo ili usije kuvikuta jalalani Jumatatu baada ya mabadiliko madogo
  5. J

    Zamani Mwalimu Nyerere alimtumbua Waziri tulijiuliza; Waziri kafanya nini Yarabi? Siku hizi inajulikana ni makandokando tu

    Ilikuwa unamsikia Suleiman Kumchaya au Jacob Tesha kwenye Taarifa ya Habari RTD kwamba Rais Nyerere amemfuta kwenye Baraza la Mawaziri Waziri Naniliu Hapo Ndio upekuzi wa Sukununu unaanza kufuatilia huyo Waziri kafanya kosa gani Siku hizi Mawaziri Wana makandokando kibao kiasi kwamba...
  6. Megalodon

    Pre GE2025 Tumbua Tumbua hazijawahi kuwa na tija kwa Taifa, Watanzania kuweni makini

    Ni lini tumbua tumbua zilibadilisha hali ya Taifa? Zaidi ya watu wenye chuki na hao viongozi kuwa na furaha. Hakuna proper procedures na vetting katika uteuzi, hivyo hata tenguzi tenguzi hazina tija wala manufaa kwa taïfa. Ogopa matapeli, ni kipindi cha uchaguzi, huwa wanaangalia ni kitu gani...
  7. BLACK MOVEMENT

    Mbinu ya kuteua na kutengua viongozi Serikalini iliwahi kufanywa Ulaya Mashariki miaka ya 90 baada ya kuvunjika Umoja wa Kisoviet. Ni njia za hadaa

    KWa sasa Mada kuu ni Tengua hamisha, Tengua badilisha, tengua, teua, tengua baada ya mwezi tengua. Nchi za Ulaya Mashariki baada ya kuanguka kwa Ujamaa zilijikuta katika hali mbaya ya kiuchumi na kushindwa kutoa huduma muhimu kwa raia wao. Hii ilitokana na kuwa hawakuwa na maendeleo makubwa...
  8. M

    Pre GE2025 Sasa Rais umeanza kuwa serious. Endelea hivyohivyo kuwanyoosha mpaka wajue kuwa Urais hauna ubia

    Mwanzo walikuchukulia poa, kwa sababu ya huruma ya mama wakadhani wanaweza kufanya mambo with impunity. Sasa unavyowanyoosha namna hii unatuma meseji kwa umma kuwa rais sasa hacheki na "kima". Hii inaleta heshima, watu wanakuona kuwa uko serious. Tatizo la kuleta ushkaji, umazoea...
  9. ChoiceVariable

    Pre GE2025 Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

    My Take Cheo ni dhamana, maisha yaendelee 🙏🙏👇👇 === Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi, utenguzi na uhamisho wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt, Moses Kasiluka, viongozi hao ni kama...
  10. Girland

    Je, utakaso unaendelea kambini huko Israel?

    Hapo zamani za kale, miaka zaidi ya 4000+ iliyopita katika nchi ya Israel walipewa agizo. Agizo hilo la kuwatenga wakoma mbali na Kusanyiko la wana wa Israeli. linapatikana kitabu cha Hesabu 5:2 Waamuru wana wa Israel wawatoe watu wote wenye magonjwa ya ngozi yanayoambukiza, na kila mwenye...
  11. S

    Pre GE2025 Kama Rais Samia ameufanyia hivi mti mbichi; Je, itakuwaje kwako Mti Mkavu?

    Ushauri wa Bure kwa Waajiriwa wote wa Serikali hasa wale wa Vimemo vya Uteuzi kutoka Kurugenzi ya IKULU kuweni makini zaidi pengine kuliko awamu yoyote ya Uteuzi wenu. Huenda Rais Dkt Samia Suluhu amegundua wanaomuagusha na kumfelisha kwa kumuibia na kumfisadi zaidi ni...
  12. R

    Waziri anapotumbuliwa anapaswa kumshukuru Rais kupitia mitandao ya kijamii kama wanavyofanya wanapoteuliwa, kukaa kimya ni kiburi

    Tanzania na Afrika kwa ujumla hatuna tabia yakukiri kushindwa au kukosa uungwaji mkono. Tumejaaliwa kiburi kinachoambatana na kujipendekeza. Mawaziri kama Januari Malamba na Nape Nauye wameaminiwa sana kwenye wizara mbalimbali. Wakati wakiwa kwenye uwaziri walimwita Mhe. Rais Mama na siyo Rais...
  13. BLACK MOVEMENT

    Mbinu za Tengua, teua zimetumika sana Ulaya Mashariki miaka ya 90

    Mara baada ya kuanguka kwa Umoja wa kisoviet, mataifa mengi ya Ulaya Mashariki yalikuwa bado na mentality za Ujamaa na sasa ikabidi wawe wanatafuta mbinu za kuwapumbaza Raia wao na siku zinasongo Mbele. Mara baada ya kuwa hawana kitu cha maana cha ku ofer kwa raia wao, au hali ni Mbaya, Kodi...
Back
Top Bottom