Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba
Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.
Mtu kama huyu anawezaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.