uteuzi wa mawaziri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abdul Said Naumanga

    CV za Mawaziri wa Afya kutoka nchi baadhi za Afrika

    Habari gani wana jamvi, leo nimekaa nikawa napitia baraza la mawaziri pamoja na sifa za wateule hao katika sekta mbalimbali kisha nikakutana na document moja hivi ikizungumzia mawaziri wa Afya nchi mbalimbali Africa. Nilipomaliza kuisoma hiyo document kwanza nikajiuliza, ni nani aliyeandaa doc...
  2. Mystery

    Kuna manufaa makubwa, tukiiga mfumo wa uteuzi wa mawaziri unaofanyika nchini Kenya

    Huko nchini Kenya, uteuzi wa mawaziri unachukua mchakato mrefu, Hadi Waziri huyo aapishwe. Hatua anazopitia Waziri huyo baada ya kupendekezwa na Rais kuwa Waziri ni jina lake kupelekwa Bungeni, Ili apitie katika "chekecho" ikiwa nafasi hiyo anastahili na iwapo wabunge hao wataridhika kutokana...
  3. GoldDhahabu

    Utaratibu wa Mawaziri kuteuliwa kutoka miongoni mwa Wabunge kunainufaishaje nchi?

    Kwa nini CCM iliupendelea huo utaratibu? Labda una manufaa kwa nchi? Naamini kungeitishwa kura ya maoni, wananchi wengi, mimi nikiwemo, wangependelea utaratibu wa mawaziri kutokuwa wabunge. Utaratibu huo ni kuuishi dhana ya kila muhimili kujitegemea.
  4. S

    Mfumo wa kuteua Mawaziri una kasoro unabagua makundi kama ya wafanyabiashara, wenye viwanda na wakulima, wafugaji na wavuvi

    Wizara ndizo husimamia sera na mipango husika kwa ajili ya maendeleo. Uteuzi wa mawaziri kwa sasa umejikita sana kuzingatia mikoa, makundi maalaumu kama vijana, wazee ,akina mama na walemavu na wasomi na watoto na ndugu wa vigogo waliopita au waliopo. Wafanyabiashara wakubwa hawamo wakulima na...
Back
Top Bottom