Nadhani mungu ni mwanaume,
Ktk uumbaji tunaambiwa Mungu alimuumba mwana adamu kwa mfano wqke, mtu wa kwanza kuumbwa ni adamu (mwanaume) kisha mbeleni huko akaumbwa hawa baada ya adam kuwa mpweke,
Kama alimuumba mwanadamu kwa mfano wake,
Na aliyeumbwa ni Adamu,
Na Adamu ni mwanaume,
Hivyo...