utt

James Boyd Utt (March 11, 1899 – March 1, 1970) was a conservative Republican U.S. representative from Orange County, California, from 1953 until his death from a heart attack.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Mnaotumia App ya UTT Amis naomba msaada kwenye hili

    WanajF naomba mnisaidie hasa wale wanaotumia App ya UTT Amis! Nilifungua akaunti kwa kutumia hiyo App sasa pale kwenye usajili wa namba ya simu ya kutumia inanitaka niingize OTP wanayotumia kwenye simu! Baada ya kuweka hiyo OTP inakubaliwa na kunitaka niingize namba ya siri!Ajabu kila namba ya...
  2. U

    Naombeni tofauti ya mifuko hii Faida Fund na UTT Amis

    WanaJF, nawasalimu nyote! Ninaomba anayeijua vizuri tofauti iliyoko kati ya mifuko hiyo miwili anijuze!Ninaomba ninapofafanuliwa hilo nijibiwe maswali haya: UPI ni bora kuliko mwingine?Upi unamfaa mtu mwenye kipato cha cha chini kinachomwezesha kubaki na akiba ndani ya shilingi 30000/- kwa...
  3. Nimepiga hesabu ningewekeza UTT ningekua niko vizuri

    Mwaka 2017 nilinunua pagara huko Mbeya! Baadae niliezeka wakawa wanaishi watu. Cost nilizotumia ni 4.5 M. Hadi leo kodi nayopokea haizidi elf 30 sehemu za mkoa wa Mbeya demand ya nyumba ndogo mno tofauti na mikoa kama Dodoma Mwanza au Dar. Kifupi hailipi. Nawaza ningeweka UTT leo ningekuwa...
  4. UTT AMIS Kuna jambo haliko sawa Kwa wawekezaji

    Mteja akiwekeza fedha zake kwenye Hati fungane ( security Bond) mkikubaliana ulipwe Kila baada ya mwezi faida,Kuna changamoto mbili. 1) Ukiweka kwenye account Yako ya UTT Hela hazionekani kwenye mfumo mpaka baada ya 2 mpaka tatu. ( Kwakuwa wanatumia system sioni mantiki ya siku tatu Hela...
  5. Msaada: Nawezaje kufungua akaunti ya UTT?

    Wakuu nimejaribu kuangalia kwenye website yao sioni hata sehemu ya kulog in. UPDATES : Friday 31st Leo nimeenda ofice za UTT hapa mwanza. Kwa maelekezo mdau alinielekeza zipo JB BELMONT HOTEL (Shukran we jamaa) Ok nimefika hapo jengo la NSSF MWANZA,Au ilipo Main office ya CRDB maana ni...
  6. D

    Naomba kujua viability ya UTT please kabla sijawekeza huko

    Faida zake zikoje kwa wanaojua plz
  7. UTT vs Hati fungani za serikali, ipi Bora zaidi kuwekeza?

    Wakuu, Nina kapesa kangu kama million 6 hivi kamekaa benki muda mrefu naona wanakakatakata tu huko benki, Sasa nataka nikatoe benki walau nikawekeze UTT AMIS au Kwenye hati fungani za serikali. Naombeni ushauri wapi ni Bora kati ya sehemu hizo mbili? kwa maana ya wanaotoa faidi kubwa zaidi ya...
  8. Namna ya kujiunga na UTT AMIS

    Hellow friends, naomba kuelekezwa namna ya kujiunga na hii kitu
  9. Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Habari, Lengo sio kujitamba Bali ni kupeana chachu ya kuendelea kupambana. Leo nimefikisha 50ml lengo langu mwaka huu ni 65ml kutokana na saving zangu. Sihitaji high return business bora nipate low return with minimal risk. Coz biashara imewahi nichakaza nikachanganyikiwa now sitaki kurudia...
  10. Niwekeze kiasi gani UTT AMIS ili gawio langu kwa mwezi ifike 250k

    Wakuu nime-estimate matumizi ya familia yangu, bills na msosi kwa mwezi jumla yake ni 250k. Je mfuko gani UTT unaoweza kunipa fixed commission ya 250k kwa mwezi?
  11. Kama wewe ni mpambanaji na ambitious mambo kama UTT, Bonds na Savings Accounts sio type yako, waachie waoga na watumishi

    Naongea sana mambo yasio serious humu jukwaani ila ngoja nifunge mwaka kwa kuongea sense kdg. Kuna nyuzi humu zinaongelea mambo ya UTT na Bonds, niwaambie ukweli haya mambo ili ikulipe kwa zile monthly returns ni lazima kwanza uweke hela kubwa sana, more than 500m, na incase ukiweka 1 billion...
  12. M

    Waliohudhuria kikao cha wawekezaji UTT

    Habari za muda huu wadau, Mwezi huu November tarehe 20 kulikua na Mkutano wa wawekezaji UTT pale Mwalimu Nyerere Conference. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nlishindwa kuhudhuria Mkutano ule. Kwa niaba ya wenzangu wengine ambao nao walishindwa kuhudhuria huo. Naomben mtueleze agenda...
  13. Mbunge Ntate Awasisitizi Maafisa Tarafa na Watendaji wa Kata Kuwekeza Katika UTT

    Mbunge wa Viti Maalum (Anayewakilisha Wafanyakazi Nchini) Anayetokea Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janejelly James Ntate, leo tarehe 10 Oktoba, 2023 ameendeSemina ya Watendaji wa Kata na Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Semina hiyo iliyohudhuriwa pia na baadhi ya viongozi wa CCM Wilaya na...
  14. Website ya UTT haipo hewani na nimeweka zaidi ya milioni 100 nimepanic. Vipi hatujapigwa huko?

    Mimi naishi ughaibuni (Diaspora) ila nimekuwa mwekezaji mzuri kupitia taasisi ya uwekezaji inaitwa UTT ipo hapo kwetu bongo na nimejiunga na mfumo wa kupokea gawio la faida kila mwezi uitwao BOND fund na sasa nimeshaweka zaidi ya milini 100 sasa mpaka muda huu nataka kwenda kulala akili inagoma...
  15. S

    Naomba ufafanuzi kuhusu hili la dhamana ya UTT

    Wapendwa salaam! napenda kujuwa mtu anapokuwa na dhamana ya fedha za UTT mfano bond za 300m anaweza tumia hiyo Kama colleteral kwenye taasisi za fedha? au UTT inaweza ikakupesha kupitia dhamana hiyo?
  16. Jinsi ya kulinda haki za waajiriwa walio kwenye kipindi cha majaribio: Kesi ya Agness B. Buhere versus UTT Microfinance Plc ya 2015

    Hukumu katika kesi ya Agness Buhere vs UTT Microfinance Plc ya mwaka 2015 ni mwongozo tosha wa kulinda haki za waajiriwa walio kwenye kipindi cha majaribio (probationary employees). Naambatanisha.
  17. Uwekezaji wa UTT liquid Fund faida yake mbona ni tofauti na uhalisia wanaousema

    Habari wadau poleni na majukumu ya taifa lisiloeleweka kama sio lenye jana janja nyingi na yote ni kutokana na watanzania wengi kutokujali. Tuachane na hayo niliwai kusoma uzi mmoja huku jamii forums nikavutiwa nao nikajitaidi kufuatilia na kuuelewa zaidi basi nikaamua kuwekeza UTT amis mfuko...
  18. Ila UTT AMISS ni bonge la mchongo

    Ila UTT ni bonge la mchongo mwaka jana nimevunja kibubu changu cha chuma nikakuta m8 na usheee pesa nilijibanabana mwenyewe hamna kilichoongezaka, Mwaka huu 15/05/2022 nikafungua account UTT nilianza na laki 5 na baada ya hapo nikaendelea na utaratibu kama naweka kwenye kibubu nikipata 10k au...
  19. K

    Ni kifurushi gani cha UTT ni bora kwa June 2022

    Ndugu wadau, wengi wamekuwa wakinishauri niwekeze akiba yangu UTT lakini hawanipi taarifa muhumu hasa kwenye gawio linalopatikana kwa vifurushi mbalimbali vya UTT. Ndo najiuliza kwa sasa June 2022, ni mfuko gani wa UTT unalipa gawio vizuri kuliko mwingune ,je ni liquid au bond au umoja? Bado...
  20. K

    Asilimia 13 fixed bank Vs UTT - kwa sasa wapi bora?

    Wadau, Katika kupambana na 45 Million sasa kuna benk imeniahidi kuwa nawezaweka fixed kwa 13%kwa annum. Sasa najiuliza sijui niweke huku au UTT ambapo naambiwa ni pazuri ingawa sijapata ushahidi wa njisi palikopazuri kwa hali ya sasa. Je, kwa wale mliowekeza UTT na kwa kulinganisha na hii fixed...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…