utu uzima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zemanda

    HATUA ANAZOPITIA BINTI WA KISASA KUTOKEA USICHANA HADI UTU UZIMA

    Zifuatazo ni hatua ambazo mabinti wa kisasa a.k.a watoto wa 2000 wana possibility kubwa kupitia kwasababu hata dada zao watoto wa 1980’s na wa 1990’s wamepitia tayari na sasa wanalipia hesabu yao ya kukengeuka kama wendawazimu. UMRI KUANZIA MIAKA 16 HADI MIAKA 26. Hii ndio stage nyeti na...
  2. Peter Mwaihola

    Utu uzima umebadili mtazamo wangu kuhusu mafanikio

    Nikiwa chini ya miaka 20 nilikuwa nawaza sana mambo makubwa makubwa umasikini na shida niliona kama vitu vya kupita. Nilikuwa najiuliza na kushangaa sana inakuwaje mtu anaishi mpaka anafika miaka 30 hana nyumba, hajaoa hata hawazi kununua gari? Huo ni uzembe bwana nilijijibu mwenyewe. Sikuwahi...
  3. je parle

    Shikamoo zimekuwa nyingi mpaka nahisi utu uzima mbona mapema sana

    Ndugu zangu wana Jamiii hizi shikamoo kutoka kwa vijana wa dogo wa form 4 au wa vets zimekuwa nyingi mpaka nachanganyikiwa .inafika kipindi naitika kwa kuibia ibia mana nahisi kama bado sio mkubwa kivile wa kupewa shikamoo za kila mara.kwahiyo sasa wakuu tunafanye kuepuka hizi shikamoo? Au...
Back
Top Bottom