Je, CCM ya ,, wenyewe“ itawapa walichoahidiana 2025 au itawasaliti ? Chadema watafanyaje watamwaga mboga? Kwani ukweli ni kwamba hawatapata kitu kutoka kwa ,,wenye Chama“ .
Kesi ya Mbowe ni kiini macho, chadema wame-sale out, tena, walifanya kwa Lowasa sasa hivi wamefanya tena …