Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Utukufu wa Mungu udumu milele; Mungu afurahi katika kazi zake.Jina la Mungu libarikiwe tangu sasa na hata milele. Kutoka maawio ya jua hata machweo yake, jina la Mungu lisifiwe.Bwana yu juu ya mataifa yote, utukufu wake u juu ya mbingu. Bwana, jina lako ladumu milele; Bwana, ukumbusho wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.