Elimu ni kitu muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu lakini hutakiwi kuwa mtumwa elimu kwa sababu kuna maisha nje ya elimu.
Wazazi wa siku hizi sijui ni ujinga au ni ulimbukeni yaani unaamka 12:00 asubuhi kwenda kwenye mishe zako unakutana na rundo la watoto wa miaka 5,4,3 wakiwa...