Habari.
Mimi ni kijana wa kiume niliyebahatika kusoma uuguzi nchini Tanzania.
Nipende kuwapongeza wote waliobahatika kusoma uuguzi Tanzania maana moja ya kada inayoiendesha hospitali kwa asilimia kubwa sana na wanasaidia wagonjwa maana ndio wanaoshinda nao masaa 24.
Niseme ukweli mimi...