Hongereni kwa sherehe za mwenge wa uhuru.
Tembea uone.
Huu mji upo wilaya ya Mufindi, kunakosifika kwa baridi kali sana. Baridi kweli ipo ni noma, yale maneno ya kuwa AC mnasema wawashe mufindi ni kweli bana.
Ila nimeshangaa sana watu wanakula mayai ya kuchemsha mida hii tena bar. Shikamoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.