Habari Wana Jamii forum, nitumaini langu wote mnaosoma hii post muwazima.
Ni kwa uchungu mwingi nawaleteeni discussion ya maovu mengi yanayofichwa nakusokomezwa chini ya jamvi yanayofanywa na baadhi ya watendaji wa kata na wasimamizi wa serikali za mitaa. Siku hizi tumekuwa tukiona vimbwanga...
backbencher
madiwani
rushwa inatuvuruga
rushwa ofisi za kata
rushwa wenye viti wa mitaa
serikali za mitaa
uvamizimaeneoyawazi
watendaji wa kata
watendaji wa mitaa
Kuna tabia ya baadhi ya watu kuvamia maeneo ya wazi au barabarani wakifungua biashara na mwishowe wakishindwa kuendelea na biashara ndogondogo hupangisha maeneo hayo kwa kuchukua kodi kila mwezi
Pia tabia hii imeonekana hata kwenye masoko makubwa pale watu wanawahi kuchukua sehemu za biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.