UTANGULIZI:
Mwaka 2003 Marekani ilivamia Iraq kimabavu na kumuondoa raisi wa nchi hiyo.
Mataifa mengi ya Ulaya yalimuunga mkono Marekani kwamba anapambana na serikali dhalimu inayohifadhi magaidi na kumiliki silaha za maangamizi. Jambo ambalo ilikuja kufahamika baadaye kwamba halikuwa na ukweli...