Wakuu,
Kumbe CCM wana tawi hadi huko Uchina?
Leo nimeona tawi la UVCCM huko nchini China likimpongeza Rais Mwinyi kwa anayoyafanya huko Zanzibar katika utawala wake.
Soma pia: Shamira Mshangama Akabidhi Simu 9 na Kadi 1,000 za UVCCM Mkoa wa Tanga
Swali langu kwa nyie wanabodi, hivi vyama...