uvinza

Uvinza is one of the eight administrative districts of Kigoma Region in Tanzania. Uvinza is bordered to the northwest by Kigoma District and Kigoma-Ujiji District. North of the district is bordered by Kasulu District . Lake Tanganyika borders the district on the west. Mpanda District in Katavi Region borders the district to the south and Kaliua District in Tabora Region borders the district to the east. The district is named in honor of the Vinza people whom the western part of district was their historic kingdom.
Southern Uvinza District is home to the Mahale Mountains National Park. A unique park that is home to both Chimpanzees and lions in the same habitat.

View More On Wikipedia.org
  1. Mr Why

    Watanzania walalamikia utaratibu wa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana Shauri John Bintanya

    Watanzania wanalalamikia utaratibu uliowekwa na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma Mh Dina Mathamani wa kumsaidia kijana aliyeibuliwa na mitandao hivi karibuni wa kufunguliwa account za bank wakidai nia yao ni kupewa kijana huyo pamoja na dada yake ili wawasaidie kwa kuwasomesha na sio...
  2. F

    Kama wewe huzami uvinza

    Nyoosha mkono juu
  3. Roving Journalist

    Dkt. Mpango aagiza kukamilika ujenzi wa Barabara ya Malagarasi - Uvinza ifikapo Machi 2025

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kuhakikisha anasimamia ujenzi wa barabara ya Malagarasi - Ilunde - Uvinza (km 51.1) kwa kiwango cha lami ukamilike ifikapo mwezi Machi, 2025. Dkt. Mpango ametoa agizo hilo leo...
  4. G

    Mzungu anaetalii kwa baiskeli aanza safari Uvinza - Mpanda, kalala porini usiku, aombwa pampu kujaza tairi la gari, Nyoka aingia kwenye hema

    Kino Yves, Ni mfaransa anaezunguka nchi mbali mbali na baiskeli yake ya kulala, Katalii nchi nyingi Afrika kama Misri, Sudan, Ethiopia, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na sasa yupo Tanzania. Ni katika muendeleo wa Utalii wake akituonyesha video zake, Baada ya Kigoma - Uvinza kwa sasa kaanza...
  5. Replica

    Uvinza: Halmashauri yachukua hatua kupitia video iliyosambaa lakini yashangazwa na aliyechukua video ikidai ameleta taharuki

    Halmashauri ya wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma imechukua hatua ya kumpumzisha daktari wa zamu ili kupisha uchunguzi baada video ya Mwanamke anaedaiwa kujifungua na kukosa huduma kwa zaidi ya saa moja katika Kituo cha Afya Kata ya Basanza kusambaa mtandaoni. Halmashauri baada ya kufatilia...
Back
Top Bottom