uvunaji wa mazao kigoma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Miss Zomboko

    Zaidi ya ekari elfu 7 za mazao ya wananchi Kigoma zavunwa na watu wasiojulikana na nyumba kuchomwa

    Wananchi wa kijiji cha Kitanga katika wilaya ya Kasulu mkoani kigoma wamelalamika zaidi ya ekari elfu saba za mazao kuvunwa na watu wasiojulikana pamoja na nyumba zao kuchomwa kutokana na mgogoro uliosababisha pia kifo cha mtu mmoja. Wamemwambia Naibu waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya...
Back
Top Bottom