uvutaji wa sigara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Morning_star

    Wavuta sigara mpo?

    Huu ndio ukweli
  2. N

    KERO Mamlaka Jiji la Mwanza mulikeni wavuta sigara wanakera

    Juzi nilijaaliwa kuingia jijini Mwanza sasa leo nikaona nitoke nilifahamu japo kidogo jiji hili! Hakika kwa ujenzi wa SGR nimeshuhudia unaendelea lakini pia nimependa kuona ujenzi wa soko kuu japo nimeona paa lake tu but hope litakuwa soko zuri! Sasa kilichonikera ni hii tabia ya wavuta sigara...
  3. Pule

    Uvutaji wa sigara unakera wengine

    Habari za wakati huu!!..Kuna hili suala la uvutaji wa sigara Kila mahali,wavutaji hawajali wengine ambapo hawavuti,hawazingatii eneo wenyewe watakapo jisikia kuvuta eneo lolote wanavuta si barabarani,eneo lenyewe mkusanyiko wa watu hawajali Hilo. Hili suala linakera sisi wengine ambapo sio...
  4. Meneja CoLtd

    Tupeane mbinu za kuacha uvutaji sigara

    Naanza kutanguliza salamu na shukurani hapa JF. Pili nawasilisha hii mada kwenu wajuzi tusaidiane ni mbinu zipi mtu anaweza kuzitumia kupunguza na kuacha kabisa kuvuta sigara Baadhi ya mbinu ambazo zimesikita zikitumiwa na watu kuacha kuvuta sigara ni; 1 Kupunguza idadi ya uvutaji wa sigara...
  5. Mwangajamiitz

    Uvutaji wa Sigara kwenye kadamnasi ya watu

    Tabia inayofanywa na wavuta Sigara. Kutendo Baadhi ya wavutaji wa Sigara ni kwenda Dukani kununua Sigara na kuiwasha papo hapo na kuanza kuvuta bila kujali Afya ya Watejá wanaohudumiwa hapo. Inabidi ziwekwe sheria ndogo ndogo za kulinda Afya za wengine ambao sio watumiaji. Hivi mvutaji Wa...
  6. JamiiCheck

    KWELI Uvutaji wa Sigara huchangia ugumba kwa wanaume

    Matumizi ya tumbaku ni moja ya maafa ya afya ya umma yanayojulikana sana. Licha ya ripoti nyingi kuhusu afya ya umma, matumizi ya tumbaku yanazidi kuongezeka katika nchi zinazoendelea na zilizoendelea. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), takriban watu Bilioni 1.3 duniani wanavuta...
  7. Winga dalali

    Hivi Tanzania ina Sheria kuhusu Uvutaji wa Sigara?

    Habari zenu wakuu, Naomba kuuliza hivi kuna sheria yoyote Tanzania kuhusiana na uvutaji wa sigara (fegi,Chiga,mufe,filter) 1. umri sahihi wa kutumia au inaruhusiwa hata kwa mtoto wa miaka 10. 2. Maeneo husika ya kuvutia sigara,au ni ruksa popote pale .unachoma uliponunua? 3. Ni,kosa kwa afisa...
  8. Sosoma Jr

    Hatua za kufuata ili kuacha kuvuta Sigara

    HATUA ZA KUACHA KUVUTA SIGARA Madhara ya kiafya yatokanayo na uvutaji sigara ni makubwa na yanahatarisha si tu uhai wa mvutaji bali hata na watu wengine wanaovuta moshi kutoka kwa mvutaji. Kwa upande mwingine, hakuna faida yoyote anayopata mvutaji, hivyo wavutaji wa sigara wanashauriwa waache...
Back
Top Bottom