Kuna makundi hayatumiki sawa sawa katika nchi yetu*
Nimekuwa najitafakalisha juu ya makundi na taasisi za serikali kadhaa kama kweli zinashiriki kikamilifu kuijenga nchi nikagundua kuna sehemu hatufanyi sawa.
Kati ya taasisi za serikali ambazo hazitumiki ki weledi au kimkakati ni pamoja na...