uwazi kwenye ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    MAJUTO: Nimejenga kimya kimya Mume wangu kajua hanishirikishi tena mambo yake

    Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa 7, katika kipindi chote hicho mambo yalikua mazuri, mume wangu alikuwa akinishirikisha kwa kila kitu na mara nyingi akinunua kitu chake ananunua na cha kwangu. Akinunua kiwanja kimoja, akaandika jina lake, kinachofuata kina majina yangu. Tuna nyumba mbili, ingawa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…