Asalaam Aleikum Wanajukwaa,Natumai wote mko poa na mnaendelea na harakati za maisha ya kila siku.
Niende moja kwa moja kwenye pointi ya MSINGI ambayo ni Timu ya Taifa ya Tanzania yaani TAIFA STARS.Kama kichwa cha habari hapo kinavyojieleza kuwa tunatakiwa tufanye uwekezaji wa kweli kama tunataka...