Mwaka fulan ilimlazimu mheshimiwa mkubwa Kwenda kutoa ushahidi mahakamani kutokana na ujenzi wa nyumba ya ubalozi Ulaya , gharama zikawa mara Tatu ya uhalisia!
Nikajiuliza swali,
Kwanini sasa hapo Kenya tunapopanga kujenga jumba la ubalozi kuna mpango wa kutumia Pesa nyingi sana ! Je kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.