Nimeona picha za Mhe. Rais kuzindua Boti za Wavuvi huko Tanga.
Cha kusikitisha pamoja na nchi yetu kuzalisha Ma engineer tangu kuanzishwa kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, mradi huo wa Boti za Uvuvi unazinduliwa kwenye Pwani ya Bahari ambayo haina hata eneo maalum la kisasa la kuegesha na...
Tundu Lissu anaongea kama mgonjwa wa malaria iliyopanda kichwani,au kuku aliyekatwa shingo nussu na kuachiwa
Mbowe anaongea kama padri kanisani au sheikh msikitini,haeleweki.
Mbowe hawezi kushinda tena.
Na akishindwa asitafute mchawi,bali Lena ndio mchawi wake
Lema kaitisha press moja tu...
Sio humu tu, nenda kwenye mitandao mingi tu. Sikiliza vipindi vya redio, televisheni, maofisini, mashuleni, utajionea ukweli huu,haraka ya kujibu bila kuielewa hoja, kujibu hoja kwa matusi.
Kejeli na upuuzi mwingi. Kujenga hoja bila ushahidi,kutumia lugha chafu au kiswahili kibovu, tabia ya...
Nahisi shida ni moja tu sisi wenye hela tunatamani kujenga kumpita fulani wakati asiye na hela hawazi anajenga vyovyote, anakwenda kisebule na chumba na kistoo na choo kisha anakuja kukupangisha wewe mwenye hela zako; unampa hela anaenda kununua tena kiwanja anajenga nyingine safari.
2023...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.