uyui - tabora

Uyui District is one of the seven districts of the Tabora Region of Tanzania. It is bordered to the north by Nzega District and Igunga District as well as by the Shinyanga Region, to the south by Sikonge District, to the west by Urambo District and Kaliua District, and to the east by the Singida Region. Tabora Urban District is an enclave within the Uyui District. Its administrative seat is the city of Tabora.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Uyui District was 281,101.
The district includes the Mbola cluster of Millennium villages.
According to the 2012 Tanzania National Census, the population of Uyui District was 396,623. In 2022, the population was 562,588.

View More On Wikipedia.org
  1. BigTall

    DOKEZO Waliofanya Uandikishaji Vitambulivyo vya NIDA, Nsololo - Uyui hawajakamilisha kazi, bado watu wengi hawajakamilisha mchakato

    Zoezi la uandikishaji Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ambalo limefanyika kwa siku mbili katika Wilaya ya Uyui hapa Tabora lilipokelewa vizuri na Wananchi na inawezekana mwitikio umekuwa mkubwa kuliko walivyotegemea. Watu walikuwa wengi kiasi cha kusababisha changamoto kadhaa ikiwa ni pamoja na...
  2. BigTall

    Baada ya picha za vyoo vya Shule ya Kamama (Uyui - Tabora) kuziweka hapa JF, nimeona wanajenga vyoo vipya

    Ujenzi ukiendelea Wiki mbili iliyopita niliandika kuhusu Shule ya Kamama iliyopo Kata ya Goweko, Kijiji cha Kamama, Wilayani Uyui kuwa ni hatarishi hasa Vyoo na madarasa, hatua zimeanza kuchukuliwa. Kama hukuona andiko langu la awali, lipo hapa ~ Hali ilivyo Shule ya Msingi Kamama (Tabora)...
Back
Top Bottom