uzalendo tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Ni ngumu sana kuwa mzalendo kwenye nchi ambayo "inaliwa" na wenye madaraka!

    Ikifika mahali kila mwananchi anaona kabisa kuwa nchi "inaliwa" na wenye madaraka, ile sense ya uzalendo kwa anayejitambua lazima ife! ndipo tulipofika kwetu hapa! Mtu atajifanya, atahubiri uzalendo kwa vile anaogpa rioting kutoka kwa walalahoi wasije wakawa class conscious wakawadhuru...
  2. Ni uzalendo uchwara kulazimisha kila Mtanzania kumchukia Kagame

    Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo. Kama wewe unamchukia...
  3. Uzalendo ni bidhaa adimu Tanzania

    Amini watanzania hatuna uzalendo kabisa na Nchi yetu. Viongozi wetu wanajali maslahi yao binafsi. Uzalendo hamna kabisa, umepewa ridhaa na wananchi lakini bado wanahali mbaya kimaisha hivi hamuoni aibu?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…