Habari watanzania wenzangu
Nianze kwa kusema kitu chochote unachokipenda utakilinda ,utakithaminisha na kukitetea kwa gharama kubwa pale unapoona kinaweza kuchukuliwa.
Inasemekana baba wa Taifa akiwa mgonjwa Sana akisubiri ndege aende kwenye matibabu uingereza ,
Alitoa wosia kwamba
"waambie...