Nchi ya Uganda ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na maziwa mengi barani Africa. Ikiwa na maziwa 69. Ziwa linahesabiwa iwapo eneo la maji kwa kiwango cha chini ni ekari 5 na wakati mwingine kuanzia ekari 20. List hii.
1. Uganda 69
2. Kenya 64
3. Cameroon 59
4. Tanzania 49
5. Ethiopia 46
6. SA 37...