Tukiwa angalia bado vijana tunafanya chaguo mbalimbali bila kuzingatia siku zijazo. Wakati mwingine chaguzi hizo hutumaliza katika maisha yetu ya baadae. Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo mtu anaweza kujutia akiwa uzeeni.
1. Kuoa mtu asiye sahihi.
ukiwa kijana, angalia nia yako ya kuoa...
Ukifikisha umri wa miaka 33 bila mtoto ni tatizo, ukiwa huna kipato cha uhakika ni tatizo pia.
Ukiwa huna mwanamke wa uhakika wa kuishi nae ni tatizo
Sikiliza video.
Mtangazaji yupo sawa au yeye ndio anatatizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.