uzembe barabarani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Watu 7 wapoteza maisha na 10 wajeruhiwa kufuatia ajali ya gari Wilaya ya Handeni. Msando atoa onyo kwa madereva wazembe!

    Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Albert Msando, amethibitisha kutokea kwa ajali leo asubuhi, saa 12, katika eneo la Michungwani, Kata ya Segera, Wilaya ya Handeni. Ajali hiyo, iliyohusisha lori na Coaster, imesababisha vifo vya watu 7 na kujeruhi wengine 10. Akizungumza kuhusu tukio hilo, Mkuu wa...
  2. Hismastersvoice

    Jeshi la Polisi (Trafiki) lianze na vitu hivi ili kudhibiti ajali

    Haya ndiyo mambo muhimu sana kwenye kudhibiti ajali za barabarani; ~ Iwekwe sheria ambayo itahakikisha kabla ya anayetaka leseni ya udereva pamoja na mafunzo anapimwa macho na dakitari wa polisi au wa hosipitali ya serikali, madereva wengi wana tatizo la mtoto wa jicho ambalo husababisha uono...
Back
Top Bottom