uzembe ofisi za umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MR KUO

    Uzembe na uswahili kwenye ofisi za umma ngazi ya elimu umerudi. Inasikitisha sana

    Kipindi cha awamu ya chuma,jiwe tulishuhudia huduma bomba sana kwa watumishi wa umma ngazi zote, kuanzia chini hadi juu, ila baada ya kuondoka inaonekana kaondoka na vyote mapanya buku yametawala baada ya paka kusepa. Majuzi hapa nilienda shule x kuomba nafasi ya uhamisho kwa kijana wangu wa...
Back
Top Bottom