uzembe wa watumishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Wauguzi wa Hospitali ya Mwembeladu Zanzibar wasimamishwa kazi kupisha uchunguzi baada ya Mama kujifungulia chooni

    Wauguzi katika Hospitali ya Wazazi Mwembeladu Zanzibar wamesimamishwa kazi kwa muda wa wiki mbili ili kupisha uchunguzi kufuatia mama kujifungulia mtoto chooni baada ya kupata uchungu akiwa hospitalini hapo kwaajili ya kujifungua. Hata hivyo inadaiwa kuwa akiwa hospitalini hapo wauguzi wa zamu...
  2. monakule

    KERO Bodi ya wahandisi wanachelewesha kuchapisha vyeti kwa makusudi

    Bodi ya wahandisi ina matatizo makubwa, wanachelewesha kuchapisha vyeti kwa makusudi nadhani kwa sababu zao binafsi, sasa kama mhandisi tayari umeshaandikishwa ukaandika ripoti na bodi ikakaa na kukubaliwa na mwisho ukaapishwa, ni nini kinachelewesha kuchapisha vyeti? Kwani kuna mchakato wowote...
Back
Top Bottom