Lipo jamaa moja linadai limefunguliwa na TFF likidai kwenye eneo la usemaji halina mpinzqni, kwa hili la leo la Ahmed Ally Mashine ya kuongea, aaaah wana simba tumepata msemaji.
Huyu bwana kwanza anajua kujenga hoja jukwaani, iwe kwenye media iwe nje ya nchi.
Hatujawahi kumsikia Manara wala...