TAARIFA KWA UMMA
UZINDUZI WA MIFUMO NA KIFURUSHI CHA TOTO AFYA KADI (TAK)
Desemba 06, 2024, Dodoma
1. Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama (Mb) anatarajia kuzindua Mfumo wa uandikishaji Wanachama, Mfumo wa Uchakataji Madai na Kifurushi cha Toto Afya Kadi Desemba 17, 2024. Uzinduzi wa Mifumo...