Ndivyo navyoweza kusema
Watu wamesherehekea vyema na wapenzi wao ,kila sikukuu ina maana yake.
Wapo wanaotaka out kila weekend,.
Lakini outing ya Leo ni ya kipekee Kwa wengi.
Wapo wanakula vizuri kila siku,lakini mlo wa leo ni zaidi ya kula.
Watu wanapeana zawadi kila siku lakini Gifts za...
Wakuu! Binafsi mimi si mtu wa masuala ya mapenzi hata kwenye siku kama ya leo.
Leo nilikuwa na mpango wa kuwatembelea wazee, lakini kwa kuwa ni siku ya upendo, nikaona si vibaya nikichukua chochote kwa ajili yao. Kuhusu huyo mzee, ishu si yeye kama mtu, bali ni mama yake.
Sasa nawaza kumletea...
Haya mambo ya kuiga maisha ya kizungu na kupenda vitu ambavyo huna uwezo navyo yanatufikisha pabaya. Usiku wa kuamkia leo, kizaazaa kimezuka katikati ya jiji ndani ya eneo la guest.
Dada mmoja alijikuta akikimbia nje mbio akiwa na chupi mkononi baada ya kushindwa kuhimili ukubwa wa pongoo la...
Siku ya Wapendanao, wewe ndiye pekee unayemletea zawadi.
Siku yako ya kuzaliwa, bado wewe ndiye unayemletea zawadi.
Siku yake ya kuzaliwa, bado ni wewe unayemletea zawadi.
Krismasi ikifika, wewe pekee ndiye unayetoa zawadi.
Siku ya kumbukumbu ya uhusiano wenu, bado wewe pekee ndiye...
Habari, mnisamehe wapendwa nawapenda wote miamia.
Yaani naipenda hii siku hadi naumwa mapenzi hapa nilipo nshapiga konyagi kubwa lao mbili nakula vibez kama zote.
Ni mimi Baharia Wadiz
Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.
Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu...
Siku ya Valentines Day asili yake ni kutoka Dola ya Warumi. Ni siku ya kumbukumbu (memoria day) na sehemu nyingine ni (festum) maana yake siku kuu ya daraja la kwanza kwa kumkumbuka Padre Valentine aliyeuawa na utawala wa kirumi
Sababu ya kutetea waumini wake kufunga ndoa badala ya kuishi na...
Heri ya siku ya wapendanao
Iko hivi nilikuwa kwenye mahusiano na huyu dada nkwa miezi sita,Mm ni graduate nipo kitaa nina mwaka na hustle na kilimo na ufugaji ili kupata mahitaji yangu ya msingi kwahyo sikuwa na mpango na mwanamke maana nilijiona sina thaman na siwezi pendwa na mwanamke.
Sasa...
Happy Valentine kwa wenye Mapenzi!
Leo nimekumbuka Valentine ya mwaka jana na Xwife wangu.
From December 2020 tulikua na kutoelewana flani nikasema ngoja nimtulize Kwa mtoko maana ni vitu anapenda sana sema ni hivo sikua na maisha hayo baada ya kufulia.
Basi nilikua ka 50k nikasema haitoshi...
Kama kichwa cha uzi kinavyosomeka ...valentine imekaribia ila jaman hata sina wa kuniletea ua.....
Uncle hana ishu za kisasa za kupeana maua... hapo nikiomba hela ntapewa nyingi tuu ila sasa ulete vitu romantic utashangaa na roho yako.
Yani natamani mtoko wa maana nifanyiwe japo romantic...
Hatimaye tetesi zimekuwa kweli! Diva wa music Bongo Sukari, Zuchu anatoka na boss wake aliyemtoa kimuziki yaani Diamond Platnumz.
Jana wamenaswa Hyatt Regency wakijiachia full mahaba kiss and touch everywhere. Yasemekana anataka kumuoa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kabla ya kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.