vatican

Vatican City ( (listen)), officially the Vatican City State (Italian: Stato della Città del Vaticano; Latin: Status Civitatis Vaticanae), is an independent city-state, microstate and enclave within Rome, Italy. Also known as The Vatican, the state became independent from Italy in 1929 with the Lateran Treaty, and it is a distinct territory under "full ownership, exclusive dominion, and sovereign authority and jurisdiction" of the Holy See, itself a sovereign entity of international law, which maintains the city state's temporal, diplomatic, and spiritual independence. With an area of 49 hectares (121 acres) and a 2019 population of about 453, it is the smallest state in the world both by area and population. As governed by the Holy See, Vatican City State is an ecclesiastical or sacerdotal-monarchical state ruled by the Pope who is the bishop of Rome and head of the Catholic Church. The highest state functionaries are all Catholic clergy of various origins. After the Avignon Papacy (1309–1377) the popes have mainly resided at the Apostolic Palace within what is now Vatican City, although at times residing instead in the Quirinal Palace in Rome or elsewhere. The Vatican is also a metonym for the Holy See.
The Holy See dates back to Early Christianity and is the principal episcopal see of the Catholic Church, which has approximately 1.329 billion baptized Catholics in the world as of 2018 in the Latin Church and 23 Eastern Catholic Churches. The independent state of Vatican City, on the other hand, came into existence on 11 February 1929 by the Lateran Treaty between the Holy See and Italy, which spoke of it as a new creation, not as a vestige of the much larger Papal States (756–1870), which had previously encompassed much of central Italy.
Vatican City contains religious and cultural sites such as St. Peter's Basilica, the Sistine Chapel, and the Vatican Museums. They feature some of the world's most famous paintings and sculptures. The unique economy of Vatican City is supported financially by donations from the faithful, by the sale of postage stamps and souvenirs, fees for admission to museums, and sales of publications. Vatican City has no taxes and items are duty-free.

View More On Wikipedia.org
  1. Yerusalemu30

    The Red Shoes and Vatican: Behind the Scene.

    I heard a conspiracy about existence of Zatharon within Vatican in a Secret chamber where few can witness it. The Red Shoes have connection with that being. Who can tell us exactly some deep information about this.
  2. Valencia_UPV

    Vatican city ndio home

    Karibuni Vatican city ndio home 🏠 Maandalizi tayari bado tangazo tu
  3. GENTAMYCINE

    Wakatoliki wenzagu tumeshaanza kuyaandaa Machozi, kwani Mimi sipendi Unafiki na Kufichaficha nadhani Israeli hatomuacha Mtu huko Vatican

    Kama Ulaya ndiko kuna Kila Kitu cha Kumzuia Israeli asikibonyeze Kitufe, ila wameshindwa je, kuna sababu ya Kufichana?
  4. Sir John Roberts

    Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

    Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua. Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
  5. D

    Today the new 14 saints are being canonized in vatican. Let's pray in their names and we will be blessed

    This comes when God said whoever blesses Islael he will be blessed. Impliedly, whoever blesses the new 14 saints he will be blessed. Amen Rome was filled with joy this Sunday as Pope Francis declared 14 men and women saints of the Catholic Church at the Canonization Mass in St. Peter's Square...
  6. Bob Manson

    The cult of baal, learn to read the map of ancient death cult

    Greetings..... The diagram you see reveals the history of a powerful Death Cult that has ruled over Earth for all recorded human history. The timeline is trisected and proceeds from top to bottom. Since I assume you have already heard or read about the many topics mentioned on the diagram, I...
  7. L

    Rais Samia afanyiwa Ibada Maalumu nzito Vatican

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania amefanyiwa ibada Maalumu nzito sana VATICAN. Ibada ambayo imefanywa na kuongozwa na jumuiya ya watanzania wakatoliki walioko huko VATICAN. Ambapo ni ibada maalumu ya kufunga mwaka wa masomo VATICAN. Jumuiya hiyo...
  8. M

    Vatican yashutumiwa kuhusika mauaji ya kimbari Rwanda

    Katika mahojiano aliyoyafanya na gazeti la "Badisches Tagblatt" la Ujerumani, jaji Wolfgang Schomburg amewanyooshea viongozi wengi kidole: Schomburg aliyekuwa sehemu ya jopo la majaji lililosimamia kesi ya mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 amewataka mapadri wa kikatoliki waliohusika...
  9. Mhaya

    Kanisa Katoliki latoa waraka mpya unaiotwa 'Dignitas Infinita' likipinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa Mimba

    Siku ya leo Kanisa Katoliki kupitia idara ya habari ya Vatican limetoa waraka mpya unaoitwa "Dignitas Infinita" Miongoni mwa mambo yanayozungumziwa kwenye waraka huo Uliosainiwa na Papa ni pamoja na Msimamo wa Kanisa katoliki katika Kupinga Utoaji Mimba, Kubadilisha Jinsia na Upandikizaji wa...
  10. Mhaya

    Vatican ni nchi moja ya kipekee sana ulimwenguni

    Ukifika pale Italia, kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa Vatican. Hapo ndipo yalipo makao makuu ya Kanisa la Roman Catholic ambapo mkuu wa kanisani hilo ni Papa. Pale Italia wana pesa yao, ila haitumiki ukiingia Vatican. Kule Vatican wana pesa yao na unaweza kuitumia hata Italia. Rais wa...
  11. Mohamed Said

    Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

    Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Waislam wanafahamu kuandika, kusoma na walikuwa wameelimika katika hesabu. Mmishionari Ludwig Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri wa Usambaa mwaka 1848 alimkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma na kuandika. Krapf alikuwa na barua mkononi kutoka...
  12. TODAYS

    Picha ya vatican: Nini kinaendelea hapa?

    Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza. Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
  13. comte

    Papa na Vatican wataja maeneo ambayo kanisa la RC wanafanya katiba mpya, bandari na tume yauchaguzi hayamo

    Pope Francis meets with President of Tanzania Pope Francis holds an audience with President Samia Suluhu Hassan of the United Republic of Tanzania, expressing their joint commitment to promoting peace in the world. By Deborah Castellano Lubov Pope Francis received the President of the United...
  14. Mjanja M1

    Picha: Rais Samia akutana na Papa huko Vatican

    Rais Samia Suluhu amekutana na Papa Francis mjini Vatican. Angalia picha hapa, VIDEO: TUKIO ZIMA LILIVYOKUWA Picha - Mwananchi Written by Mjanja M1 ✍️
  15. Mjanja M1

    Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

    Kufuatia mualiko wa kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani na nchi ya Vatican Papa Francis, Rais Samia Hassan atafanya ziara ya kitaifa tarehe 11 hadi 12 Februari, 2024. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January...
  16. Mohamed Said

    Suala la Bandari TEC hawakupata kama walivyozoea

    Anachojaribu kukifanya huyu msemaji ni kutaka wasiokuwa Wakatoliki waamini kuwa Kanisa Katoliki bado lina nguvu ile ile iliyokuwanayo kabla ya sakata la "Waarabu" na Bandari ya Dar-es-Salaam. Kanisa Katoliki katika sakata hili halikupata kile ambacho wamezoea kupata kuanzia wakati wa ukoloni...
  17. T

    Ni wakati muafaka sasa kwa kanisa katoliki Tanzania na Afrika kujitenga na Vatican kama ilivyo kanisa katoliki la China

    Baada ya Papa Francis kuagiza kanisa katoliki kote ulimwenguni isipokua China kubariki ndoa za mashoga, sasa ni wakati muafaka Kanisa Katoliki Afrika kujiondoa kutoka kwenye mikono ya ukoloni wa Vatican na kujitenga kama ilivyo Kanisa Katoliki China. China kanisa katoliki la Vatican halina...
  18. Zanzibar-ASP

    Wakatoliki waanza kuona aibu na fedheha, Papa na Vatican wameharibu sana taswira ya ukatoliki

    Sio siri tena tangu Papa na Vatican kutoa miongozo ya kuukumbatia ushoga, kwa sasa wakatoliki wengi wameanza kupoteza furaha, amani, ujasiri na ufahari wa kujivunia ukatoliki. Papa na Vatican walianza kutoa kauli tata za kuona ushoga (kubadili jinsia nk) sio dhambi ya kukemewa na kanisa (yaani...
  19. Poppy Hatonn

    Tatizo la Vatican siyo ushoga,tatizo ni ngono kwa ujumla

    Tatizo ni kwamba sex desire inakuwa na nguvu kubwa sana katika binadamu na ukiweka sheria kali kunaweza kuwaumiza watu. Sheria kama hizi: ukimtia mimba mtoto wa shule,miaka thelathini jela. Inakuwa vigumu kumpa mtu training ambayo inamwezesha kujikinga na hizo dangers,kwa hiyo inaonekana ni...
  20. chiembe

    Ni kweli Vatican wanakataa kumpa Uaskofu Padri Kitima baada ya kupata tetesi anataka kugombea ubunge kupitia CHADEMA?

    Kuna mtu kaniuzia habari kwamba Kanisa Katoliki Makao Makuu limegoma kumpa U-Askofu Padri Kitima baada ya "kunusa" taarifa kwamba Padri Kitima ni mshauri mkuu wa Mwenyekiti Mbowe na pia anajipanga kugombea ubunge kupitia Chadema. Kanisa katoliki lolinasifika kwa kuwa na intelijensia Kali sana...
Back
Top Bottom