viagra

Sildenafil, sold under the brand name Viagra among others, is a medication used to treat erectile dysfunction and pulmonary arterial hypertension. It is unclear if it is effective for treating sexual dysfunction in women. It is taken by mouth or by injection into a vein. Onset is typically within 20 minutes and lasts for about 2 hours.Common side effects include headaches, heartburn, and flushed skin. Caution is advised in those with cardiovascular disease. Rare but serious side effects include a prolonged erection (priaprism) that can lead to damage to the penis, vision problems, and hearing loss. Sildenafil should not be taken by people on nitrates such as nitroglycerin (glycerin trinitrate), as this may result in a serious drop in blood pressure. Sildenafil should not be taken within four hours of taking an alpha one antagonist.
Sildenafil acts by blocking phosphodiesterase 5 (PDE5), an enzyme that promotes breakdown of cGMP, which regulates blood flow in the penis. It requires sexual arousal, however, to work. It also results in dilation of the blood vessels in the lungs.Pfizer originally discovered the medication in 1989 while looking for a treatment for heart-related chest pain. It was approved for medical use in the United States and in the European Union in 1998. In 2017, it was the 217th most commonly prescribed medication in the United States, with more than two million prescriptions. In 2017, it became available as a generic medication after final patents by Pfizer expired. In the United Kingdom, it is available over the counter. Most of the Active Pharmaceutical Ingredient (API) in Sildenafil, Sildenafil citrate, is produced in Pfizer's Ringaskiddy complex, County Cork, which is Pfizer's largest production facility outside of the United States.

View More On Wikipedia.org
  1. Watuamiaji wengi hapa bongo wa viagra wanadhani kuwa itawasaidia kuchelewa kumwaga na kuimarisha munkali lakini inaboresha uwezo wa mtalimbo kusimama

    Unapaswa kujua kwamba Viagra haiongezei libido au kushughulikia sababu za kisaikolojia zinazokusababishia uwezo mdogo wa kudinda. Viagra (sildenafil) haikufanyi "udumu zaidi" moja kwa moja kwa maana ya kuchelewesha kumwaga au kuongeza muda wa kujamiiana. Kazi yake ya msingi ni kuwasaidia...
  2. Ushawahi kula viagra alafu mtoto hakuja

  3. Jogoo kashindwa kuwika mara mbili, nitumie Viagra?

    Ndugu wapendwa habari za jioni hiii, nimekuja kwenu kutafuta kujuzwa kuhusu utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume (viagra). JUMANNE NA Jana nilipatwa na mshituko kwani nilikwenda kwenye mambos na mpenzi wangu wa siku zote na katika kuhitimisha mambo yetu kila kitu kilienda sawa kwenye...
  4. Kishindo Knachoendelea Huko kwa Jirani Huenda ni Viagra

    Mwanzo nilidhani wanafumua sementi ili asubuhi waweke tiles au wanavunja ukuta, baadaye hali ikawa mara mbili ya ile ya awali, kama kweli watu wanatumia hayo madawa basi anayejiumiza ni mwanaume siyo aliyepaniwa, ndiyo maana tunakufa mapema kuliko wao
  5. T

    Honeymoon for Men & Women, dawa ya kuongeza nguvu za kiume ya Viagra iliyojificha kwenye jina la dawa za Asili kutoka Uturuki

    Wakuu, habari za muda. Kuna hii dawa inaitwa Honeymoon for Men & Women. Ni Vifurushi vya asali ambavyo unapewa unatakiwa umeze kimoja baada ya siku 3. Nimeambiwa kabla ya hapo ilikua ni vidonge, sasa wameboresha wamevileta kama asali. Kwa nini nimejua hii dawa. Ni hivi, hivi karibuni...
  6. N

    Ufanyaji kazi wa viagra

    Hivi vidonge vya viagra,ukimeza na ukataka kuviua nguvu mwilini unatumia nini, nilikuwa na mechi ya ugenini leo,sindio nikameza vya gram50, aisee ni headache na kizunguzungu,nyuchi zitatuua wallah
  7. Sitosahau nilivyojilipua kutumia viagra pamoja na vumbi la Congo

    Kaka yenu shetani kabla sijaoa nikajilipua kwa binti mmoja alikuwa anapenda sana ngono ,basi ile tabia yake ukianza naye siku hiyo mpaka kesho yake. Nikawa na choka ikabidi nimfanyie ukatili ambao urusi na iran ujawai fanywa. Ujana sio mzuri bwana nikapata kibunda changu kipindi cha jakaya bado...
  8. Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba kudhibiti matumizi ya dawa za Viagra na P2

    Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imesema inafanyia utafiti dawa za nguvu za kiume aina ya Viagra pamoja na kuwekea mkakati dawa zinazotumika kuzuia mimba aina ya P2 kwa lengo la kudhibiti uholela wa utumiaji wake. Mkurugenzi wa TMDA, Adam Fimbo wakati amesema utumiaji holela wa dawa za...
  9. VIAGRA ISSUES: Jamaa afariki Dunia akila uroda na wanawake wawili

    Aisee ngono siku hizi imekuwa overrated kiukweli. How can someone just dare have an intercourse with two or more women at the same time after consuming Viagra and expect northing terrible to happen to them surely? Leo mida ya asubuhi tumeshuhudia tukio la kushangaza Sana ambapo mwanaume mmoja...
  10. R

    Madhara ya kutumia dawa za kuongeza vichocheo mwilini

    Habari wanandugu, poleni na majukumu ya kila siku, wala siwapi faraja sababu najua tutapumzika kaburini[emoji28] Kuna jambo limekua kama katabia siku hizi, watu wanakunywa virutubisho na vichocheo vya mwili sana yani katika kukuza ama kuactivate miili yao, naamini hata siku hizi mmekutana na...
  11. S

    Nimepona tatizo la nguvu za kiume kwa kutumia Viagra

    Habari wakuu Kiuhalisia namshukuru Mungu sana kwa kunitoa kwenya kifungo cha kupiga punyeto kilichodumu miaka (2011 - 2021) Kiuhalisia safari ilikuwa nzuri hapo mwanzo na niliona ni hali ya kawaida tu mpaka pale nilipoanza kushindwa kumudu kitandani nikikutana na wanawake na hii imeshanitokea...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…