Zawadi zawadi yangu, uwapi binti mweupe
Kipenzi wa roho yangu, kabinti mwenye mapepe
Na ahadi za kizungu, wacha ukweli nikupe
Leo nimewakumbuka, ma X wa kitambo
Kwakuwa mwana sanaa, nitawataja kwa beti
Yameshapita masaa, simsahau Bahati
Alojiona staa, ameolewa BABATI
Leo nimewakumbuka, ma X wa...
Habari wakuu. Kuna mahala hapa paka pori shume wananisumbua haswa. Wanaiba mayai, wanakamata kuku n.k. naomba nisaidiwe namna ninavyo weza kuwaua kwa sumu
-----------------------------------------------------------------------------------------
MREJESHO:
nawashukuru kwa msaada. Paka Yule...
SALAMU KWA MASIKITIKO
Taarifa rasmi ambayo nimeipata sasa hivi kutoka kwa mpenzi wangu ni kwamba ame DUKUA simu yangu.
Kwakuwa mwezi ulopita alisafiri, ameamua kudukua mawasiliano yangu kwa kigezo cha kunichunguza tabia zangu. Alichokutana nacho mpaka sasa anashindwa kuzungumza.
Nami baada ya...
Hakuna kitu kinachoitwa hasira una mizuka yako ya kukata gogo maeneo haswa ya vyoo vya sehemu ya starehe au stand unaingia unapishana na mtu anatoka msalani kavaa vizuri kabisa unaingia tu hamadi unakutana na gogo hata halijasafirishwa lipo limejaa kwenye tundu yaani mpka mzuka wa kukata gogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.