video utupu baobab

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Aliyeshiriki kusambaza picha za utupu kuhusu shule ya Baobab akamatwa na Jeshi La Polisi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani Januari 3,2025 lilipokea taarifa kutoka kwa Uongozi wa Shule ya Baobaob iliyopo Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani ya kutengenezwa na kusambazwa katika Mitandao ya Kijamii picha mjongeo za utupu zenye maudhui machafu kimaadili lakini pia ni kinyume na Sheria za nchi...
  2. Mindyou

    Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

    Wakuu, Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania. Soma pia...
Back
Top Bottom