RC MAKALLA: OPERESHENI INAENDELEA, DAR ES SALAAM NI SHWARI
- Asema Operesheni ya kukamata Panya Road imekuwa na mafanikio makubwa.
- Vituo vya polisi vikubwa kwa vidogo kufanya kazi saa 24 kudhibiti uhalifu.
- Aelekeza Kila Mtaa kuweka utaratibu wa kufanya kikao Cha Ulinzi kila wiki ya kwanza...