Wakuu,
Ukishaanza kuona picha kama hizi ujue kabisa Uchaguzi umekaribia.
Hawa ni moja watu watakaoenda kuamua nani ataenda kuwa diwani, Mbunge au Rais wako.
Wasiende tu kurudia yale mambo tuliyoayaona kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
=============================================...
Leo tarehe 18/7/2024,
Mkoani Tabora yamehitimishwa mafunzo ya waandishi wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya bayometriki kwa ajili ya zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura.
Huku zoezi rasmi la uandikishwaji likitarajiwa kuanza siku ya jumamosi tarehe 20/7/2024 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.