Iran imezindua meli yake ya kwanza ya kubeba droni, ikisema inaweza kufanya operesheni katika bahari za mbali kutoka bara la nchi hiyo, shirika la habari la IRNA liliripoti Alhamisi.
Kwa mujibu wa taarifa, meli hiyo ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi inaweza kubeba vikosi vya droni, helikopta, na...
Russia imedai inatengeneza drone 4000 kwa siku. Hii ni kutokana na silaha nyingi kutumika kwene vita ya Ukraine.
Ushauri kwa serikali.
Hii nchi mbaka sasa sijui inatengeneza nini. Pamoja na kuongezeka kwa changamoto za kiusalama bado kama nchi haijaweza au haina uelekeo wa kuboresha uzalishaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.