vifaa vya kivita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Iran yazindua meli yake ya kwanza ya kivita yenye uwezo wa kubeba drone na Helicopter

    Iran imezindua meli yake ya kwanza ya kubeba droni, ikisema inaweza kufanya operesheni katika bahari za mbali kutoka bara la nchi hiyo, shirika la habari la IRNA liliripoti Alhamisi. Kwa mujibu wa taarifa, meli hiyo ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi inaweza kubeba vikosi vya droni, helikopta, na...
  2. Wakati Urusi ikizalisha drone 4,000 kwa siku, kwanini Tanzania tusitengeneze drone moja moja kwa kila mwaka?

    Russia imedai inatengeneza drone 4000 kwa siku. Hii ni kutokana na silaha nyingi kutumika kwene vita ya Ukraine. Ushauri kwa serikali. Hii nchi mbaka sasa sijui inatengeneza nini. Pamoja na kuongezeka kwa changamoto za kiusalama bado kama nchi haijaweza au haina uelekeo wa kuboresha uzalishaji...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…