vifaa vya usafi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Shule za serikali kuagiza majembe, reki na makwanja kila mwaka huwa wanayapeleka wapi?

    Kila mwaka shule za Serikali huagiza wanafunzi wapya wanaoanza kujiunga na shule hizo kwenda na majembe, makwanja, reki, mafagio nk kama sehemu ya mahitaji ya vifaa vya kukamilisha wanaporipoti shuleni. Swali langu ni kuwa huwa wanayapeleka wapi kila mwaka wanapokea mapya, angalau hata mafagio...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…