vifo katika jamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nini sababu ya kuongezeka kwa wagonjwa wa saratani Tanzania?

    Siku za hivi karibuni kumekua na vifo vingi vinavyohusiana na saratani. Mwaka jana tulizika ndugu yetu,mwanamke wa umri wa miaka 46 aliyekuwa anasumbuliwa na saratani,aliugu muda mrefu pamoja na maumivu makali. Juzi kuna kijiji nilienda kuna mama mmoja namfahamu ni mama mtu mzima umri miaka 64...
  2. Misiba imeshika hatamu sababu kubwa zifuatazo chukua katahadhari

    Sisi wote binadamu Tubadilishane uzoefu mambo yafuatayo yanachukua watu zetu easy 1. Ajali, za magari, mitambo, umeme, gas,moto. 2. Pressure hio ndo zaidi 3. Mahoma homa ya maini na figo yamekuwa mengi. 4. Uwizi 5. Ugomvi wa wivu wa kimapenzi.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…