Thadei Mbawala (48) mkazi wa mtaa wa Mji Mwema halmashauri ya mji wa Njombe ambaye ni dereva wa gari ya kampuni ya maji anadaiwa kufariki dunia ndani ya gari aliyokuwa amepaki nyumbani kwake pembeni kukiwa na jiko la mkaa huku milango ya gari ikiwa imefungwa.
Kituo hiki kimefika nyumbani kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.