vifo vya mahujaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    UPDATE: Mahujaji zaidi ya Elfu Moja wamefariki Makka. Hakuna Mtanzania aliyepoteza Maisha wala kujeruhiwa

    Ndugu zangu Watanzania, Zaidi ya mahujaji Elfu moja wamepoteza maisha katika mji wa Makka walikokuwa wamekwenda kuhiji kama sehemu ya kutimiza nguzo kuu tano kwa muislamu yeyote yule mwenye uwezo walau mara moja tu katika uhai wake kuweza kufika katika mji huo mtakatifu kwa waislamu . Vifo...
  2. Lupweko

    Saudi Arabia: Mahujaji zaidi ya 500 wafariki wakati wa Hija huko Makka

    Takriban Mahujaji 323 kutoka Misri wamekufa wakati wa Hijja ya Waislamu huko Mecca, Saudi Arabia, ambapo karibu wote walikufa kutokana na magonjwa yanayohusiana na joto, wanadiplomasia wawili wa Kiarabu waliiambia kwa AFP leo. Vifo hivi vinafikisha idadi ya watu 577 iliyotangazwa na nchi...
Back
Top Bottom