Wafungwa nao ni binadamu kama sisi tuu. Wanaugua na wanaweza kupoteza maisha wakiwa kifungoni.. Je sheria inasemaje?
Zamani tuliambiwa mfungwa aliye kifungoni akipata madhila ya kupoteza maisha huzikwa na serikali kupitia magereza na ndugu zake huja kupewa taarifa baada ya kifungo kwisha.. Je...
Waziri wa Mambo ya Ndani, Shabani Lukoo amesema, Watu 129 wameuawa wakati wakijaribu kutoroka katika Gereza Kuu la Makala jijini Kinshasa na wengine 59 wakijeruhiwa.
Waziri Lukoo ametaja madhara mengine yaliyotokea katika tukio hilo ni pamoja na baadhi ya Majengo ya Utawala kuchomwa moto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.