Tunaomba msaada , hospitali ya rufaa ya mkoa wa Tabora haaina huduma ya VIFUNGASHIO kwa ajili ya kubebea dawa, mgonjwa akipewa dawa analazimika kubeba mikononi au kwenye mabox kitu ambacho kinahatarisha dawa kuanguka na kupasuka..!!
Mtu anaweza nunua dawa hadi za elfu 50, lakini akakosa...