Nimepataa dondoo kuhusu bei mpya ambazo zitakuja kutangazwa siku chache zijazo na kampuni ya AzamTv.
Kwasasa kuwaona akina Pacome au akina Debora na Fei Toto ubaoni ni Sh 28,000/=
Ndio kifurushi cha Azam Plus kimepanda kutoka 25,000 mpaka 28,000. Sawa na ongezeko la 3,000/=
Ubaya Ubwela tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.